Ruka kwenda kwenye maudhui

Kwa nini iPAB

Hatuuzi software. Tunatengeneza biashara.

Kampuni nyingi za “mifumo” zinakuuzia app halafu zinatoweka. iPAB ilianza kwa kukaa ndani ya biashara za Tanzania; kuhesabu stoo, kuona mauzo yakipotea mlangoni; na kujenga hasa kile kinachozuia hasara. Leo biashara 1,220+ zinatumia iPAB kila siku, kuanzia maduka ya dawa Dar mpaka vyuo vya NACTVET.

Hatutengenezi app, tovuti, wala mifumo. Tunatatua changamoto za biashara kwa teknolojia.

iPAB International Limited

Misingi tunayojishikilia nayo

  • 01

    Matokeo kuliko vipengele

  • 02

    Tunafundisha watu, si kufunga mfumo tu

  • 03

    24/7 maana yake ni 24/7

  • 04

    Imejengwa Tanzania, kwa uhalisia wa biashara za Tanzania

Watu wanaopokea simu saa nane usiku

Picha ya mwanzilishi + wasifuTODO; italetwa baadaye
Picha ya timuTODO; italetwa baadaye

Tupo Dar es Salaam; tunahudumia biashara Tanzania nzima

Jumatatu–Jumamosi 8:00–17:00

Tufuate Instagram

Jua biashara yako inavuja wapi.

Ujumbe mmoja wa WhatsApp. Tutakuambia hasa tungerekebisha nini.